Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 38:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Upate kuipeleka hata mpaka wake, Upate kuyaelewa mapito ya kuiendea nyumba yake?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ili upate kulipeleka kwenye makao yake, na kuifahamu njia ya kwenda huko kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ili upate kulipeleka kwenye makao yake, na kuifahamu njia ya kwenda huko kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ili upate kulipeleka kwenye makao yake, na kuifahamu njia ya kwenda huko kwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, unaweza kuvirudisha kwenye makao yake? Unajua njia za kufika maskani mwake?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, unaweza kuvirudisha kwenye makao yake? Unajua njia za kufika maskani mwake?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Upate kuipeleka hata mpaka wake, Upate kuyaelewa mapito ya kuiendea nyumba yake?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 38:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na mpaka wa Wakanaani ulianza kutoka Sidoni kwa njia ya Gerari hata Gaza; tena kwa njia ya Sodoma, na Gomora, na Adma, na Seboimu, hata Lasha.


Basi shamba la Efroni lililokuwa katika Makpela kuelekea Mamre, shamba, na pango lililokuwemo, na miti yote iliyokuwamo shambani, iliyokuwa katika mipaka yake pande zote, vyote viliyakinishwa


Amepiga duara kuwa ni mpaka juu ya uso wa maji, Hata hapo mwanga na giza vinapopakana.


Iko wapi njia ya kuyafikia makao ya nuru? Na giza pia, mahali pake ni wapi?