Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 38:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Iko wapi njia ya kuyafikia makao ya nuru? Na giza pia, mahali pake ni wapi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Je, makao ya mwanga yako wapi? Nyumbani kwa giza ni wapi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Je, makao ya mwanga yako wapi? Nyumbani kwa giza ni wapi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Je, makao ya mwanga yako wapi? Nyumbani kwa giza ni wapi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Njia ya kufika kwenye makao ya nuru ni ipi? Nako maskani mwa giza ni wapi?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Njia ya kufika kwenye makao ya nuru ni ipi? Nako maskani mwa giza ni wapi?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Iko wapi njia ya kuyafikia makao ya nuru? Na giza pia, mahali pake ni wapi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 38:19
17 Marejeleo ya Msalaba  

Amepiga duara kuwa ni mpaka juu ya uso wa maji, Hata hapo mwanga na giza vinapopakana.


Umeyafahamu mapana ya dunia? Haya! Sema, ikiwa unayajua hayo yote.


Upate kuipeleka hata mpaka wake, Upate kuyaelewa mapito ya kuiendea nyumba yake?


Wewe hufanya giza, kukawa usiku, Ndipo atambaapo kila mnyama wa mwitu.


Alituma giza, na kufanya nchi kuwa na giza, Wakayaasi maneno yake.


Alifanya giza kuwa mahali pake pa kujificha, Kuwa hema yake ya kumzunguka. Akiwa katika giza la mawingu mazito yaliyojaa maji.


Mimi naiumba nuru, na kulihuluku giza; mimi nafanya suluhu, na kuhuluku ubaya; Mimi ni BWANA, niyatendaye hayo yote.


Mtukuzeni BWANA, Mungu wenu, kabla hajaleta giza, na kabla miguu yenu haijakwaa juu ya milima yenye giza; na wakati mnapoitazamia nuru, kabla hajaigeuza kuwa kivuli cha mauti, na giza nene.


Mianga yote ya mbinguni iangazayo nitaifanya kuwa giza juu yako, nami nitatia giza katika nchi yako, asema Bwana MUNGU.


Kwa maana, angalia, yeye aifanyaye milima, na kuumba upepo, na kumwambia mwanadamu mawazo yake, afanyaye asubuhi kuwa giza, na kupakanyaga mahali pa dunia palipoinuka; BWANA, Mungu wa majeshi, ndilo jina lake.


Basi tangu saa sita palikuwa na giza juu ya nchi yote hadi saa tisa.


Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.


Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.


tena usije ukainua macho yako hata mbinguni, na ulionapo jua, na mwezi, na nyota, jeshi la mbinguni lote pia, ukashawishwa na kuviabudu, na kuvitumikia, ambavyo BWANA, Mungu wako amewagawanyia watu wote chini ya mbingu zote.