Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 38:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yapate kuishika miisho ya nchi, Waovu wakung'utwe wakawe mbali nayo?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ili lipate kuikamata dunia kwa pembe zake na kuwatimulia mbali waovu waliomo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ili lipate kuikamata dunia kwa pembe zake na kuwatimulia mbali waovu waliomo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ili lipate kuikamata dunia kwa pembe zake na kuwatimulia mbali waovu waliomo?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

yapate kushika miisho ya dunia, na kuwakung’uta waovu waliomo?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

yapate kushika miisho ya dunia, na kuwakung’uta waovu waliomo?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yapate kuishika miisho ya nchi, Waovu wakung'utwe wakawe mbali nayo?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 38:13
13 Marejeleo ya Msalaba  

Maana anatazama hata miisho ya nchi, Na kuona chini ya mbingu nzima.


Kwa sababu hiyo yeye huyatafiti matendo yao; Naye huwapindua usiku, wakaangamia.


Yeye huwapiga kwa sababu ya uovu wao, Waziwazi mbele ya macho ya wengine;


Hauhifadhi uhai wa waovu; Lakini huwapa wateswao haki yao.


Yeye huituma iende chini ya mbingu zote, Na radi yake hata miisho ya nchi.


Je! Umeiamuru asubuhi tangu siku zako zilipoanza? Umeyajulisha mapambazuko mahali pake?


Hubadilika mfano wa udongo chini ya mhuri, Vitu vyote vinatokea kama mavazi.


Wenye dhambi waangamizwe katika nchi, Watendao ubaya wasiwepo tena. Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA.


Musa akaunyosha mkono wake juu ya bahari, na kulipopambazuka, bahari ikarudi kwa nguvu zake; Wamisri wakajaribu kuyakimbia maji na BWANA akawaangamiza hao Wamisri katika bahari.