Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 37:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Dhoruba hutoka katika vyumba vyake; Na baridi ghalani mwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Dhoruba huvuma kutoka chumba chake, na baridi kali kutoka ghalani mwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Dhoruba huvuma kutoka chumba chake, na baridi kali kutoka ghalani mwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Dhoruba huvuma kutoka chumba chake, na baridi kali kutoka ghalani mwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Dhoruba hutoka katika chumba chake, baridi hutoka katika upepo uendao kasi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Dhoruba hutoka katika chumba chake, baridi hutoka katika upepo uendao kasi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Dhoruba hutoka katika vyumba vyake; Na baridi ghalani mwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 37:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo BWANA akamjibu Ayubu katika upepo wa kisulisuli, na kusema,


Yeye afanyaye hizo nyota za Dubu, na Orioni, na hicho Kilimia, Na makundi ya nyota ya kusini.


Na kuziweka nguzo za ghorofa zake majini. Huyafanya mawingu kuwa gari lake, Na kwenda juu ya mabawa ya upepo,


Hutupa mvua ya mawe kama makombo, Mbele ya baridi yake ni nani awezaye kusimama?


Upepo wa kusi huleta mvua; Vile vile asingiziaye huleta uso wa ghadhabu.


Ufunuo juu ya nyika kando ya bahari. Kama tufani za Negebu zikaribiavyo kwa kasi, inakuja kutoka kwa nyika, toka nchi itishayo.


Naye BWANA ataonekana juu yao, Na mshale wake utatoka kama umeme; Na Bwana MUNGU ataipiga tarumbeta, Naye atakwenda kwa pepo za kisulisuli za kusini.