Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 37:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Sikiliza neno hili, Ee Ayubu; Simama kimya, uzifikiri kazi za Mungu za ajabu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Unapaswa kusikiliza Yobu; nyamaza, usikilize maajabu ya Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Unapaswa kusikiliza Yobu; nyamaza, usikilize maajabu ya Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Unapaswa kusikiliza Yobu; nyamaza, usikilize maajabu ya Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Ayubu, sikiliza hili; nyamaza na uyafikiri maajabu ya Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Ayubu, sikiliza hili; nyamaza na uyafikiri maajabu ya Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sikiliza neno hili, Ee Ayubu; Simama kimya, uzifikiri kazi za Mungu za ajabu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 37:14
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kumbuka kuitukuza kazi yake, Watu waliyoiimbia.


Kama ni kwa kuonya, au kama ni kwa nchi yake, Au kama ni kwa rehema, ndiye aletaye.


Je! Wajua wewe jinsi Mungu anavyoziagiza, Na kuufanya umeme wa wingu lake uangaze?


Je! Wajua jinsi mawingu yalivyowekwa sawasawa, Hizo kazi za ajabu za huyo mkamilifu wa maarifa?


Mungu hunguruma kwa kustaajabisha kwa sauti yake; Hufanya mambo makuu, ambayo hatuwezi kuyaelewa.


Yeye afanyaye mambo makuu, yasiyotambulikana; Mambo ya ajabu yasiyo na hesabu;


Matendo ya BWANA ni makuu, Yafikiriwa sana na wapendezwao nayo.


Tulieni, mjue ya kuwa Mimi ni Mungu, Nitakuzwa katika mataifa, nitakuzwa katika nchi.


Musa akawaambia watu, Msiogope, simameni tu, mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo; kwa maana hao Wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.


Tafakari vema kazi yake Mungu; kwa sababu ni nani awezaye kukinyosha kitu kile alichokipotosha yeye?


Lakini BWANA yumo ndani ya hekalu lake takatifu; dunia yote na inyamaze kimya mbele zake.