Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 35:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini sasa, kwa sababu yeye hakukujia katika hasira zake, Wala hauzingatii sana makosa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sasa, kwa vile Mungu anazuia hasira yake, wala hajali sana makosa ya watu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sasa, kwa vile Mungu anazuia hasira yake, wala hajali sana makosa ya watu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sasa, kwa vile Mungu anazuia hasira yake, wala hajali sana makosa ya watu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

pia zaidi, kwamba hasira yake kamwe haiadhibu wala haangalii uovu hata kidogo?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

pia zaidi, kwamba hasira yake kamwe haiadhibu wala haangalii uovu hata kidogo?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini sasa, kwa sababu yeye hakukujia katika hasira zake, Wala hauzingatii sana makosa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 35:15
14 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, ataniua; sina tumaini; Ila hata hivyo nitaithibitisha njia yangu mbele yake.


Sembuse usemapo wewe ya kuwa humwangalii, Hiyo kesi i mbele yake, nawe wamngojea!


Ndiposa Ayubu hufunua kinywa chake kwa ubatili; Huongeza maneno pasipo maarifa.


Lakini sasa haya yamekufikia wewe, nawe wafa moyo; Yamekugusa, nawe wafadhaika.


Je! Mimi nitamjibuje, Na kuyachagua maneno yangu kuhojiana naye?


Basi, nitawarudi makosa yao kwa fimbo, Na uovu wao kwa mapigo.


Ijapokuwa mwenye dhambi amefanya maovu mara mia na akazidisha siku zake; lakini hata hivyo najua hakika ya kwamba itakuwa heri kwao wamchao Mungu, wenye kicho mbele zake;


BWANA akamwambia Musa na Haruni, Kwa kuwa hamkuniamini mimi, ili kunistahi mbele ya macho ya wana wa Israeli, basi kwa sababu hiyo, hamtawaingiza kusanyiko hili katika ile nchi niliyowapa.


Na tazama! Utakuwa bubu, usiweze kusema, mpaka siku ile yatakapotukia hayo, kwa sababu hukuyasadiki maneno yangu; nayo yatatimizwa kwa wakati wake.


Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.