Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 35:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hakika Mungu hatasikia ubatili, Wala Mwenyezi hatauangalia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kweli Mungu hasikilizi kilio cha bure; Mungu Mwenye Nguvu hajali kilio hicho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kweli Mungu hasikilizi kilio cha bure; Mungu Mwenye Nguvu hajali kilio hicho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kweli Mungu hasikilizi kilio cha bure; Mungu Mwenye Nguvu hajali kilio hicho.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naam, Mungu hasikilizi maombi yao ya ubatili; Mwenyezi hayazingatii.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naam, Mungu hasikilizi maombi yao ya ubatili; Mwenyezi hayazingatii.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hakika Mungu hatasikia ubatili, Wala Mwenyezi hatauangalia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 35:13
20 Marejeleo ya Msalaba  

Asiutumainie ubatili, na kujidanganya; Kwa kuwa huo ubatili ndio utakaokuwa ujira wake.


Nakulilia wewe, wala huniitikii; Nasimama, nawe wanitazama tu.


Atakapoyaelekea maombi yake aliye mkiwa, Asiyadharau maombi yao.


Kama ningaliwaza maovu moyoni mwangu, Bwana asingesikia.


BWANA yuko mbali na wasio haki; Bali huisikia sala ya mwenye haki.


Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.


Yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria, Hata sala yake ni chukizo.


Nanyi mkunjuapo mikono yenu, nitaficha macho yangu nisiwaone; naam, mwombapo maombi mengi, sitasikia; mikono yenu imejaa damu.


Basi, BWANA asema hivi, Tazama, nitaleta mabaya juu yao, ambayo hawataweza kuyakimbia; nao watanililia, lakini sitawasikiliza.


Wala hawakunililia kwa moyo, lakini wanalalamika vitandani mwao; hujikutanisha ili kupata nafaka na divai; huniasi mimi.


Naam, ijapokuwa mnanitolea sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka zenu za unga, sitazikubali; wala sitaziangalia sadaka zenu za amani, na za wanyama walionona.


Ndipo watakapomwomba BWANA, asiwaitikie; naam, atawaficha uso wake wakati huo, kwa kadiri walivyotenda mabaya kwa matendo yao.


Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.


Tunajua ya kuwa Mungu hawasikii wenye dhambi; bali mtu akiwa ni mcha Mungu, na kuyafanya mapenzi yake, humsikia huyo.


Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu.