Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 35:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hulia huko, lakini hapana ajibuye, Kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu hao huomba msaada lakini Mungu hawajibu, kwa sababu ya majivuno ya watu waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu hao huomba msaada lakini Mungu hawajibu, kwa sababu ya majivuno ya watu waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu hao huomba msaada lakini Mungu hawajibu, kwa sababu ya majivuno ya watu waovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye hajibu wakati watu waliapo kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye hajibu wakati watu waliapo kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hulia huko, lakini hapana ajibuye, Kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 35:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Mungu atakisikia kilio chake, Taabu zitakapomfikia?


Walipiga yowe, lakini hakuna wa kuokoa, Walimwita BWANA lakini hakuwajibu,


Ndipo watakaponiita, lakini sitaitika; Watanitafuta kwa bidii, wasinione.


Tunajua ya kuwa Mungu hawasikii wenye dhambi; bali mtu akiwa ni mcha Mungu, na kuyafanya mapenzi yake, humsikia huyo.