Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 34:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Ni mtu gani mfano wa Ayubu, Anywaye mzaha kama maji?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ni nani aliye kama Yobu ambaye kwake ubaradhuli ni kama kunywa maji?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ni nani aliye kama Yobu ambaye kwake ubaradhuli ni kama kunywa maji?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ni nani aliye kama Yobu ambaye kwake ubaradhuli ni kama kunywa maji?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ni mtu gani aliye kama Ayubu, anywaye dharau kama maji?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ni mtu gani aliye kama Ayubu, anywaye dharau kama maji?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Ni mtu gani mfano wa Ayubu, Anywaye mzaha kama maji?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 34:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Majivuno yako yawanyamazishe watu wawe kimya? Nawe hapo ufanyapo dhihaka, je! Hapana mtu atakayekutahayarisha?


Mimi ni mtu wa kuchekwa na jirani yake, Ni mtu niliyemwita Mungu, naye akanijibu; Huyo mwenye haki, aliye mtimilifu, amekuwa ni kicheko.


Sembuse mtu ambaye ni mwenye kuchukiza na uchafu, Mwanadamu anywaye uovu kama anywavyo maji!


Lakini umejaa hukumu ya waovu; Hukumu na haki hukushika.


Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Shahidi asiyefaa kitu hudhihaki hukumu, Na vinywa vya wasio haki humeza uovu.


Maana wao hula mkate wa uovu, Nao hunywa divai ya ujeuri.


ikawa asikiapo maneno ya laana hii, ajibarikie mtu huyo moyoni mwake, na kusema, Nitakuwa katika amani, nijapotembea katika upotoe wa moyo wangu kwa kuangamiza mbichi na kavu;