Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 34:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Watu walio na akili wataniambia, Naam, kila mtu mwenye hekima anisikiaye;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu yeyote mwenye akili, na kila mwenye hekima anayenisikiliza atasema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu yeyote mwenye akili, na kila mwenye hekima anayenisikiliza atasema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu yeyote mwenye akili, na kila mwenye hekima anayenisikiliza atasema:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Watu wenye ufahamu husema, wenye hekima wanaonisikia huniambia,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Wanadamu wenye ufahamu husema, wenye hekima wanaonisikia huniambia,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu walio na akili wataniambia, Naam, kila mtu mwenye hekima anisikiaye;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 34:34
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo nisikilizeni, enyi wenye fahamu; Mungu asidhaniwe kutenda udhalimu; Wala Mwenyezi kufanya uovu.


Ikiwa una ufahamu, sikia neno hili; Isikilize sauti ya maneno yangu.


Sikilizeni maneno yangu, enyi wenye hekima; Tegeni masikio kwangu, ninyi mlio na maarifa.


Je! Malipo yake yatakuwa kama upendavyo wewe, hata ukayakataa? Kwani yakupasa wewe kuchagua, si mimi; Kwa sababu hiyo sema uyajuayo.


Huyo Ayubu amesema pasipo maarifa, Na maneno yake hayana hekima.


Na tujichagulie yaliyo ya uelekevu; Na tujue wenyewe yaliyo mema.


Nasema kama na watu wenye akili; lifikirini ninyi ninenalo.