Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 34:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ili huyo mpotovu asitawale, Wala pasiwe na wa kuwatega watu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

liwe ni taifa au mtu mmojammoja? Hufanya hivyo, mtu mbaya asitawale, au wale wahatarishao maisha ya watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

liwe ni taifa au mtu mmojammoja? Hufanya hivyo, mtu mbaya asitawale, au wale wahatarishao maisha ya watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

liwe ni taifa au mtu mmojammoja? Hufanya hivyo, mtu mbaya asitawale, au wale wahatarishao maisha ya watu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ili kumzuia mtu mwovu kutawala, au wale ambao huwategea watu mitego.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ili kumzuia mtu mwovu kutawala, au wale ambao huwategea watu mitego.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ili huyo mpotovu asitawale, Wala pasiwe na wa kuwatega watu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 34:30
17 Marejeleo ya Msalaba  

Walakini hawakusikia; naye Manase akawakosesha wafanye mabaya, kuliko mataifa BWANA aliowaharibu mbele za wana wa Israeli.


Ya kuwa shangwe ya waovu ni kwa muda kidogo, Na furaha ya wapotovu ni ya dakika moja tu?


Je! Atatawala mtu aichukiaye haki hata mmoja? Nawe, je! Utamhukumia mkosa aliye na haki na mwenye nguvu?


Kwani macho yake yako juu ya njia za mtu, Naye huziona hatua zake zote.


Akitoa utulivu yeye, ni nani awezaye kuhukumia makosa? Akificha uso wake, ni nani awezaye kumtazama? Kama hufanyiwa taifa, au mtu mmoja, ni sawasawa;


Kwani kuna mtu aliyemwambia Mungu, Mimi nimevumilia kurudiwa, ingawa sikukosa;


Lakini yeye huokoa na upanga wa kinywa chao, Hata kumwokoa mhitaji na mkono wake aliye hodari.


Wasio haki hutembea pande zote, Huku ufisadi ukitukuka kati ya wanadamu.


Hekima ndiyo bora kupita silaha za vita; Lakini mkosaji mmoja huharibu mema mengi.


Nimekupa mfalme katika hasira yangu, nikamwondoa katika ghadhabu yangu.


Efraimu ameonewa, amesetwa katika hukumu, kwa sababu alikuwa radhi kufuata ubatili.


Kwa maana amri za Omri ndizo zishikwazo, na matendo yote ya nyumba ya Ahabu, nanyi mnakwenda katika mashauri yao; ili nikufanye kuwa ukiwa, na wenyeji waliomo humo kuwa zomeo; nanyi mtayachukua matukano waliyotukanwa watu wangu.