Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 34:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Sikilizeni maneno yangu, enyi wenye hekima; Tegeni masikio kwangu, ninyi mlio na maarifa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Sikilizeni maneno yangu enyi wenye hekima, nitegeeni masikio yenu, nyinyi wenye ujuzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Sikilizeni maneno yangu enyi wenye hekima, nitegeeni masikio yenu, nyinyi wenye ujuzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Sikilizeni maneno yangu enyi wenye hekima, nitegeeni masikio yenu, nyinyi wenye ujuzi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima; nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima; nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sikilizeni maneno yangu, enyi wenye hekima; Tegeni masikio kwangu, ninyi mlio na maarifa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 34:2
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tena Elihu akajibu na kusema,


Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno, Kama vile kaakaa lionjavyo chakula.


mwenye hekima asikie na kuongezewa elimu, na mwenye ufahamu ayafikie mashauri yenye njia.


Nasema kama na watu wenye akili; lifikirini ninyi ninenalo.


Ndugu zangu, msiwe watoto katika akili zenu; lakini katika uovu mgeuzwe watoto wachanga, bali katika akili zenu muwe watu wazima.