Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 33:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hakika umenena masikioni mwangu, Nami nimesikia sauti ya maneno yako, ukisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kweli umesema, nami nikasikia; nimeyasikia yote uliyosema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kweli umesema, nami nikasikia; nimeyasikia yote uliyosema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kweli umesema, nami nikasikia; nimeyasikia yote uliyosema.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Lakini umesema nikiwa ninakusikia, nami nilisikia maneno yenyewe:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Lakini umesema nikiwa ninakusikia, nami nilisikia maneno yenyewe:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hakika umenena masikioni mwangu, Nami nimesikia sauti ya maneno yako, ukisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 33:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi hao watu watatu wakaacha kumjibu Ayubu, kwa sababu alikuwa mwenye haki machoni pake mwenyewe.


Ndipo zikawaka hasira za huyo Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, katika jamaa ya Ramu, juu ya Ayubu, kwa sababu alikuwa amejipa haki mwenyewe zaidi ya Mungu.


Tazama, utisho wangu hautakutia hofu wewe, Wala sitakulemea kwa uzito.


Mimi ni safi, sina makosa; Sina hatia, wala hapana uovu ndani yangu;


kwa sababu wametenda upumbavu katika Israeli, nao wamezini na wake za jirani zao, nao wamenena maneno ya uongo kwa jina langu, nisiyowaamuru; nami ndimi nijuaye, nami ni shahidi, asema BWANA.


ndipo nawe uulize na kutafuta, ukiuliza kwa bidii; nawe angalia, ikiwa kweli, na jambo lile halina shaka, kwamba machukizo mfano wa haya yafanyika katikati yako;