Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 33:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikiwa unaweza, nijibu; Yapange maneno yako sawasawa mbele yangu, usimame.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nijibu, kama unaweza. Panga hoja zako vizuri mbele yangu, ushike msimamo wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nijibu, kama unaweza. Panga hoja zako vizuri mbele yangu, ushike msimamo wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nijibu, kama unaweza. Panga hoja zako vizuri mbele yangu, ushike msimamo wako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Unijibu basi, kama unaweza; jiandae kunikabili mimi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Unijibu basi, kama unaweza; jiandae kunikabili mimi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikiwa unaweza, nijibu; Yapange maneno yako sawasawa mbele yangu, usimame.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 33:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni sasa, nimekwisha kulitengeneza neno langu, Najua ya kuwa mimi ni mwenye haki.


Basi hao watu watatu wakaacha kumjibu Ayubu, kwa sababu alikuwa mwenye haki machoni pake mwenyewe.


Naam, niliwasikiza ninyi, Na tazama, hapana mmoja aliyemshinda Ayubu, Wala kumjibu maneno yake, kati yenu.


Kwa kuwa yeye hajayaelekeza maneno yake kwangu; Wala sitamjibu mimi kwa maneno yenu.


Ndivyo ulivyofanya, nami nikanyamaza; Ukadhani ya kuwa Mimi ni kama wewe. Lakini nitakukemea; Nitakuhukumu kwa hayo yote.


BWANA akamwambia Musa, Inuka asubuhi na mapema usimame mbele ya Farao; angalia! Atoka aende majini; kamwambie, BWANA asema, Wape watu wangu ruhusa waende zao, ili wanitumikie mimi.


Lakini Petro akamwinua, akasema, Simama, mimi nami ni mwanadamu.