Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 33:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Roho ya Mungu imeniumba, Na pumzi za Mwenyezi hunipa uhai.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Roho ya Mungu iliniumba, nayo pumzi ya Mungu Mwenye Nguvu yanipa uhai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Roho ya Mungu iliniumba, nayo pumzi ya Mungu Mwenye Nguvu yanipa uhai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Roho ya Mungu iliniumba, nayo pumzi ya Mungu Mwenye Nguvu yanipa uhai.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Roho wa Mungu ameniumba; pumzi ya Mwenyezi hunipa uhai.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Roho wa Mwenyezi Mungu ameniumba; pumzi ya Mwenyezi hunipa uhai.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Roho ya Mungu imeniumba, Na pumzi za Mwenyezi hunipa uhai.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 33:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa kiumbe hai.


Unanijalia uhai na fadhili, Na kwa uangalifu wako roho yangu imetunzwa.


Je! Ni vema kwako wewe kuonea, Na kuidharau kazi ya mikono yako, Na kuiunga mkono mipango ya waovu?


Ambaye nafsi ya kila kilicho hai i mkononi mwake, Na pumzi zao wanadamu wote.


(Kwa kuwa uhai wangu ungali mzima ndani yangu, Na Roho ya Mungu iko katika pua yangu;)


Lakini hakika imo roho ndani ya mwanadamu, Na pumzi ya Mwenyezi ndiyo impayo ufahamu.


Waituma roho yako, wanaumbwa, Nawe waufanya upya uso wa nchi.


Kwa neno la BWANA mbingu ziliumbwa, Na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake.


Mungu BWANA anena, yeye aliyeziumba mbingu, na kuzitanda; yeye aliyeitandaza nchi na mazao yake; yeye awapaye pumzi watu walio juu yake; yeye awapaye roho wao waendao ndani yake.


Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima ule ulio katika Kristo Yesu imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti.


Ndivyo ilivyoandikwa, Mtu wa kwanza, Adamu, akawa kiumbe aliye hai; Adamu wa mwisho ni roho yenye kuhuisha.