Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 33:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maneno yangu yatatamka uelekevu wa moyo wangu; Na hayo niyajuayo midomo yangu itayanena kwa unyofu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nitasema kadiri ya unyofu wa moyo wangu; ninayoyajua nitayasema kwa uaminifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nitasema kadiri ya unyofu wa moyo wangu; ninayoyajua nitayasema kwa uaminifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nitasema kadiri ya unyofu wa moyo wangu; ninayoyajua nitayasema kwa uaminifu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu; midomo yangu hunena kwa uaminifu yale niyajuayo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu; midomo yangu hunena kwa uaminifu yale niyajuayo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maneno yangu yatatamka uelekevu wa moyo wangu; Na hayo niyajuayo midomo yangu itayanena kwa unyofu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 33:3
15 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?


Hakika midomo yangu haitanena yasiyo haki, Wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.


Tafadhali, nisiupendelee uso wa mtu; Wala sitajipendekeza kwa mtu yeyote.


Kwa kuwa mimi sijui kujipendekeza; Au Muumba wangu angeniondoa kwa upesi.


Tazama basi, nimefunua kinywa changu, Ulimi wangu umenena kinywani mwangu.


Ni nani huyu atiaye ushauri giza Kwa maneno yasiyo na maarifa?


Sasa basi iweni radhi kuniangalia; Kwani hakika sitanena uongo usoni penu.


Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri; Bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu.


Midomo ya mwenye haki hueneza maarifa; Bali moyo wa mpumbavu haufanyi hivyo.


Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.


Kwa kuwa nawapa mafundisho mazuri; Msiiache sheria yangu.