Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee, waliosimama mbele ya Sulemani baba yake, alipokuwa hai bado, akasema, Mnanipa shauri gani la kuwajibu watu hawa?
Yobu 32:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Nilisema, Yafaa siku ziseme, Na wingi wa miaka ufundishe hekima. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Nilisema moyoni: ‘Waache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.’ Biblia Habari Njema - BHND Nilisema moyoni: ‘Waache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.’ Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Nilisema moyoni: ‘Waache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.’ Neno: Bibilia Takatifu Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme, nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’ Neno: Maandiko Matakatifu Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme, nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’ BIBLIA KISWAHILI Nilisema, Yafaa siku ziseme, Na wingi wa miaka ufundishe hekima. |
Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee, waliosimama mbele ya Sulemani baba yake, alipokuwa hai bado, akasema, Mnanipa shauri gani la kuwajibu watu hawa?
Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita), mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu.