Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 32:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nilisema, Yafaa siku ziseme, Na wingi wa miaka ufundishe hekima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nilisema moyoni: ‘Waache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nilisema moyoni: ‘Waache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nilisema moyoni: ‘Waache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme, nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme, nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nilisema, Yafaa siku ziseme, Na wingi wa miaka ufundishe hekima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 32:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee, waliosimama mbele ya Sulemani baba yake, alipokuwa hai bado, akasema, Mnanipa shauri gani la kuwajibu watu hawa?


Wazee ndio walio na hekima, Na katika kuishi siku nyingi iko fahamu.


Wenye mvi, na walio wazee sana, wote wapo pamoja nasi, Ambao ni wazee kuliko baba yako.


Sio wakuu walio wenye hekima, Wala sio wazee watambuao haki.


Ninao ufahamu kuliko wazee, Kwa kuwa nimeyashika mausia yako.


Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki.


Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita), mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu.