Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 32:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hata Elihu alipoona kuwa hapana jawabu katika vinywa vya watu hao watatu, hasira zake ziliwaka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini alipoona hao watu watatu wameshindwa kumjibu Yobu, aliwaka hasira.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini alipoona hao watu watatu wameshindwa kumjibu Yobu, aliwaka hasira.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini alipoona hao watu watatu wameshindwa kumjibu Yobu, aliwaka hasira.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini alipoona watu hao watatu hawakuwa na kitu zaidi cha kusema, hasira yake ikaamka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini alipoona watu hao watatu hawakuwa na kitu zaidi cha kusema, hasira yake ikaamka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata Elihu alipoona kuwa hapana jawabu katika vinywa vya watu hao watatu, hasira zake ziliwaka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 32:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo zikawaka hasira za huyo Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, katika jamaa ya Ramu, juu ya Ayubu, kwa sababu alikuwa amejipa haki mwenyewe zaidi ya Mungu.


Basi huyo Elihu alikuwa anangoja ili anene na Ayubu, kwa sababu hao wengine walikuwa wazee kuliko yeye.


Basi Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, akajibu, na kusema, Mimi ni kijana, na ninyi ni wazee sana; Kwa hiyo nilijizuia, nisithubutu kuwaonesha nionavyo.


Hata alipokaribia kambini akaiona ile ndama, na ile michezo. Hasira ya Musa ikawaka, akazitupa zile mbao mikononi mwake, akazivunja chini ya mlima.