Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 32:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi huyo Elihu alikuwa anangoja ili anene na Ayubu, kwa sababu hao wengine walikuwa wazee kuliko yeye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Elihu alikuwa amekaa kimya wakati hao wazee waliposema na Yobu kwa kuwa yeye alikuwa kijana kuliko wao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Elihu alikuwa amekaa kimya wakati hao wazee waliposema na Yobu kwa kuwa yeye alikuwa kijana kuliko wao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Elihu alikuwa amekaa kimya wakati hao wazee waliposema na Yobu kwa kuwa yeye alikuwa kijana kuliko wao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi Elihu alikuwa amesubiri kwanza waongee na Ayubu, kwa sababu walikuwa na umri mkubwa kuliko yeye.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi Elihu alikuwa amesubiri kwanza waongee na Ayubu kwa sababu walikuwa na umri mkubwa kumliko yeye.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi huyo Elihu alikuwa anangoja ili anene na Ayubu, kwa sababu hao wengine walikuwa wazee kuliko yeye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 32:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Tena hasira zake ziliwaka juu ya hao rafiki zake watatu kwa sababu hawakupata jawabu, lakini wamemhukumia Ayubu makosa.


Hata Elihu alipoona kuwa hapana jawabu katika vinywa vya watu hao watatu, hasira zake ziliwaka.


Yeye ajibuye kabla hajasikia, Ni upumbavu na aibu kwake.


Wakati wa kurarua, na wakati wa kushona; Wakati wa kunyamaza, na wakati wa kunena;


Mwondokeeni mtu mwenye mvi; heshimuni uso wa mtu mzee; nawe mche Mungu wako, Mimi ndimi BWANA.