Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 32:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nitanena, ili nipate kutulia; Nitafunua midomo yangu na kujibu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ni lazima niseme ili nipate nafuu; yanipasa kufungua kinywa changu na kujibu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ni lazima niseme ili nipate nafuu; yanipasa kufungua kinywa changu na kujibu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ni lazima niseme ili nipate nafuu; yanipasa kufungua kinywa changu na kujibu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ni lazima niseme ili niweze kutulia; ni lazima nifumbue midomo yangu nipate kujibu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ni lazima niseme ili niweze kutulia; ni lazima nifumbue midomo yangu nipate kujibu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nitanena, ili nipate kutulia; Nitafunua midomo yangu na kujibu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 32:20
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nyamazeni, niacheni, ili nipate kunena, Na hayo yatakayonijia na yaje.


Yuko nani atakayeshindana nami? Maana sasa nitanyamaza kimya na kukata roho.


Kwa hiyo mawazo yangu hunipa jawabu, Kwa ajili ya haraka niliyo nayo ndani yangu.


Niacheni, nami pia nitanena; Tena nikiisha nena, zidini kudhihaki.


Tazama, tumbo langu ni kama divai iliyozibwa; Kama viriba vipya liko karibu kupasuka.


Tafadhali, nisiupendelee uso wa mtu; Wala sitajipendekeza kwa mtu yeyote.


Mtu akijaribu kuzungumza nawe, je! Utaona ni vibaya? Lakini ni nani awezaye kujizuia asinene?