Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 32:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa kuwa nimejaa maneno; Roho iliyo ndani yangu hunihimiza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ninayo maneno mengi sana, roho yangu yanisukuma kusema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ninayo maneno mengi sana, roho yangu yanisukuma kusema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ninayo maneno mengi sana, roho yangu yanisukuma kusema.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa nimejawa na maneno, nayo Roho iliyo ndani yangu inanisukuma;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa nimejawa na maneno, nayo Roho iliyomo ndani yangu yanisukuma;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa nimejaa maneno; Roho iliyo ndani yangu hunihimiza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 32:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nami nitajibu sehemu yangu, Mimi nami nitaonesha nionavyo.


Tazama, tumbo langu ni kama divai iliyozibwa; Kama viriba vipya liko karibu kupasuka.


Mtu akijaribu kuzungumza nawe, je! Utaona ni vibaya? Lakini ni nani awezaye kujizuia asinene?


Moyo wangu ukawa moto ndani yangu, Na katika kuwaza kwangu moto ukawaka; Nilisema kwa ulimi wangu,


Nami nikisema, Sitamtaja, wala sitasema tena kwa jina lake; basi, ndipo moyoni mwangu kumekuwamo kama moto uwakao, uliofungwa ndani ya mifupa yangu, nami nimechoka kwa kustahimili, wala siwezi kujizuia.


Lakini nimejaa ghadhabu ya BWANA; nimechoka kwa kujizuia; imwageni juu ya watoto walio njiani, na juu ya kusanyiko la vijana pia; maana hata mume atatwaliwa pamoja na mkewe, mzee pamoja na yeye aliyetimiza siku zake.


maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo tuliyoyaona na kuyasikia.