Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 32:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na mimi, je! Ningoje, kwa sababu hawaneni, Kwa sababu wasimama kimya, wala wasijibu tena;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya, kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya, kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mimi, je! Ningoje, kwa sababu hawaneni, Kwa sababu wasimama kimya, wala wasijibu tena;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 32:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Laiti mngenyamaza kabisa! Hilo lingekuwa hekima kwenu.


Wameshangaa, hawajibu tena; Hawana neno la kusema.


Mimi nami nitajibu sehemu yangu, Mimi nami nitaonesha nionavyo.


Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.


Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;