Yobu 32:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Na mimi, je! Ningoje, kwa sababu hawaneni, Kwa sababu wasimama kimya, wala wasijibu tena; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu? Biblia Habari Njema - BHND Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu? Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu? Neno: Bibilia Takatifu Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya, kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu? Neno: Maandiko Matakatifu Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya, kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu? BIBLIA KISWAHILI Na mimi, je! Ningoje, kwa sababu hawaneni, Kwa sababu wasimama kimya, wala wasijibu tena; |
Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya.
Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;