Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 32:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wameshangaa, hawajibu tena; Hawana neno la kusema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Nyinyi mmeduwaa; mmeshindwa, nyinyi hamna cha kusema zaidi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Nyinyi mmeduwaa; mmeshindwa, nyinyi hamna cha kusema zaidi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Nyinyi mmeduwaa; mmeshindwa, nyinyi hamna cha kusema zaidi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Wametiwa hofu na hawana la zaidi la kusema; maneno yamewaishia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Wametiwa hofu na hawana la zaidi la kusema; maneno yamewaishia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wameshangaa, hawajibu tena; Hawana neno la kusema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 32:15
9 Marejeleo ya Msalaba  

Hawakunena tena baada ya kusikia maneno yangu; Matamko yangu yakadondoka juu yao.


Kwa kuwa yeye hajayaelekeza maneno yake kwangu; Wala sitamjibu mimi kwa maneno yenu.


Na mimi, je! Ningoje, kwa sababu hawaneni, Kwa sababu wasimama kimya, wala wasijibu tena;


Waliposikia, walistaajabu, wakamwacha, wakaenda zao.


Vivyo hivyo wa pili naye, na wa tatu, hata wote saba.


Na Mafarisayo waliposikia ya kwamba amewafumba kinywa wale Masadukayo, walifanya shauri pamoja.


Wala hakuweza mtu kumjibu neno; wala hakuthubutu mtu yeyote tangu siku ile kumwuliza neno tena.


Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.