Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 32:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa kuwa yeye hajayaelekeza maneno yake kwangu; Wala sitamjibu mimi kwa maneno yenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maneno ya Yobu hayakuwa kwa ajili yangu, kwa hiyo sitamjibu kama mlivyomjibu nyinyi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maneno ya Yobu hayakuwa kwa ajili yangu, kwa hiyo sitamjibu kama mlivyomjibu nyinyi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maneno ya Yobu hayakuwa kwa ajili yangu, kwa hiyo sitamjibu kama mlivyomjibu nyinyi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Ayubu hajayapanga maneno yake dhidi yangu, nami sitamjibu kwa kutumia hoja zenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Ayubu hajayapanga maneno yake dhidi yangu, nami sitamjibu kwa kutumia hoja zenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa yeye hajayaelekeza maneno yake kwangu; Wala sitamjibu mimi kwa maneno yenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 32:14
3 Marejeleo ya Msalaba  

Jitunzeni msiseme, Sisi tumepata hekima; Mungu huenda akamshinda, si mtu;


Wameshangaa, hawajibu tena; Hawana neno la kusema.


Ikiwa unaweza, nijibu; Yapange maneno yako sawasawa mbele yangu, usimame.