Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 31:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama nchi yangu imelia juu yangu, Na matuta yake hulia pamoja;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama nimeiiba ardhi ninayoilima, nikasababisha mifereji yake iomboleze,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama nimeiiba ardhi ninayoilima, nikasababisha mifereji yake iomboleze,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama nimeiiba ardhi ninayoilima, nikasababisha mifereji yake iomboleze,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Kama nchi yangu inalia dhidi yangu, na mifereji yake yote imelowana kwa machozi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kama nchi yangu inalia dhidi yangu, na mifereji yake yote imelowana kwa machozi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama nchi yangu imelia juu yangu, Na matuta yake hulia pamoja;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 31:38
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mbingu zitafunua wazi uovu wake, Nayo nchi itainuka kinyume chake.


Wako waziondoao alama za mipaka; Huyachukua makundi na kuyalisha.


Na malisho yamejawa na kondoo, Na mabonde yamepambwa nafaka, Yanashangilia, na kuimba pamoja kwa shangwe.


Kwa maana jiwe litapiga kelele katika ukuta, nayo boriti katika miti italijibu.


Angalieni, ujira wa wakulima waliovuna mashamba yenu, ninyi mliokosa kuwalipa kwa hila, unapiga kelele, na vilio vyao waliovuna vimeingia masikioni mwa Bwana wa majeshi.