Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 31:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikiwa kama mwanadamu nimeyafunika makosa yangu, Kwa kuuficha uovu wangu kifuani mwangu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je nimeficha makosa yangu kama wengine? Je nimekataa kukiri dhambi zangu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je nimeficha makosa yangu kama wengine? Je nimekataa kukiri dhambi zangu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je nimeficha makosa yangu kama wengine? Je nimekataa kukiri dhambi zangu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo, kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo, kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikiwa kama mwanadamu nimeyafunika makosa yangu, Kwa kuuficha uovu wangu kifuani mwangu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 31:33
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Nilisikia sauti yako bustanini, nikaogopa kwa kuwa mimi ni uchi; nikajificha.


Adamu akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala.


Ndipo akasema, Wameona nini nyumbani mwako? Hezekia akajibu, Vitu vyote vilivyomo nyumbani mwangu wameviona; hapana kitu nisichowaonesha katika hazina zangu.


Mgeni hakulala njiani; Lakini nilimfungulia msafiri milango yangu;


Ndipo nikakuungamia dhambi yangu, Wala sikuuficha upotovu wangu. Nilisema, Nitayakiri maasi yangu kwa BWANA, Nawe ukanisamehe upotovu wa dhambi yangu.


Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; Bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema.


Lakini wao wamelivunja hilo agano kama Adamu; huko wamenitenda mambo ya hiana.


Petro akamjibu, Niambie, Mlikiuza kiwanja kwa thamani hiyo? Akasema, Ndiyo, kwa thamani hiyo.


Israeli wamefanya dhambi, naam, wamelivunja agano langu nililowaagiza; naam, wametwaa baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu; tena wameiba, tena wameficha na kuvitia pamoja na vitu vyao wenyewe.