Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 30:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hung'oa mboga ya chumvi kwenye kichaka; Na mizizi ya mretemu ni chakula chao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walichuma mimea jangwani na majani msituni wakala, walikula hata mizizi ya mti wa mfagio.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walichuma mimea jangwani na majani msituni wakala, walikula hata mizizi ya mti wa mfagio.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walichuma mimea jangwani na majani msituni wakala, walikula hata mizizi ya mti wa mfagio.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Katika vichaka walikusanya mimea ya chumvi, nacho chakula chao kilikuwa mizizi ya mti wa mfagio.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Katika vichaka walikusanya mimea ya chumvi, nacho chakula chao kilikuwa mizizi ya mti wa mfagio.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hung'oa mboga ya chumvi kwenye kichaka; Na mizizi ya mretemu ni chakula chao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 30:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini yeye mwenyewe akaendelea katika jangwa mwendo wa siku moja, akaenda akaketi chini ya mretemu. Akajiombea roho yake afe, akasema, Yatosha; sasa, Ee BWANA, uiondoe roho yangu; kwa kuwa mimi si mwema kuliko baba zangu.


Wamekonda kwa uhitaji na njaa; Huguguna nchi kavu, penye giza la ukiwa na uharibifu.


Hufukuzwa watoke kati ya watu; Huwapigia kelele kama kumpigia mwizi.


Ndipo Amosi akajibu akamwambia Amazia, Mimi sikuwa nabii, wala sikuwa mwana wa nabii; bali nilikuwa mchungaji, na mtunza mikuyu;


Akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe, wala hapana mtu aliyempa kitu.