Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 3:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nyota za mapambazuko yake na ziwe giza; Na utafute mwanga lakini usiupate; Wala usiyaone mapambazuko;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyota zake za pambazuko zififie, utamani kupata mwanga, lakini usipate, wala usione nuru ya pambazuko.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyota zake za pambazuko zififie, utamani kupata mwanga, lakini usipate, wala usione nuru ya pambazuko.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyota zake za pambazuko zififie, utamani kupata mwanga, lakini usipate, wala usione nuru ya pambazuko.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nyota zake za alfajiri na ziwe giza; nao ungojee mwanga bila mafanikio, wala usiione miali ya mapambazuko,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nyota zake za alfajiri na ziwe giza; nao ungojee mwanga bila mafanikio, wala usiuone mwonzi wa kwanza wa mapambazuko,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nyota za mapambazuko yake na ziwe giza; Na utafute mwanga lakini usiupate; Wala usiyaone mapambazuko;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 3:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu haukuifunga milango ya tumbo la mamangu. Wala kunifichia taabu machoni.


Na waulaani hao waulaanio mchana, Hao walio tayari kumwamsha huyo Lewiathani.


Hapo nilipotazamia mema, ndipo yakaja mabaya; Nami nilipongojea mwanga, likaja giza.


Hapana aliye mkali hata akathubutu kumwamsha; Bali ni nani awezaye kusimama mbele yangu mimi?


Kwa kuchemua kwake mwanga humemetuka, Na macho yake yanafanana na koze za alfajiri.


Mtukuzeni BWANA, Mungu wenu, kabla hajaleta giza, na kabla miguu yenu haijakwaa juu ya milima yenye giza; na wakati mnapoitazamia nuru, kabla hajaigeuza kuwa kivuli cha mauti, na giza nene.


Tulitazamia amani, lakini hayakuja mema yoyote; tulitazamia wakati wa kupona, na tazama, kufadhaika tu!