Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 3:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na waulaani hao waulaanio mchana, Hao walio tayari kumwamsha huyo Lewiathani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walozi wa siku waulaani, watu stadi wa kuligutua dude Lewiyathani waulaani!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walozi wa siku waulaani, watu stadi wa kuligutua dude Lewiyathani waulaani!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walozi wa siku waulaani, watu stadi wa kuligutua dude Lewiyathani waulaani!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale wanaozilaani siku na wailaani hiyo siku, wale walio tayari kumwamsha Lewiathani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale wazilaanio siku wailaani hiyo siku, wale walio tayari kumwamsha Lewiathani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na waulaani hao waulaanio mchana, Hao walio tayari kumwamsha huyo Lewiathani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 3:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yeremia akamlilia Yosia; na waimbaji wote wanaume kwa wawanawake wakamtaja Yosia katika maombolezo yao, hadi leo; hata wakayafanya kuwa ada kwa Israeli; nayo, tazama, yameandikwa katika Maombolezo.


Tazama, usiku huo na uwe tasa; Wala isiwe ndani yake sauti ya shangwe.


Nyota za mapambazuko yake na ziwe giza; Na utafute mwanga lakini usiupate; Wala usiyaone mapambazuko;


Je! Waweza wewe kumvua mamba kwa ndoana? Au, kuufunga ulimi wake kwa kamba?


Hapana aliye mkali hata akathubutu kumwamsha; Bali ni nani awezaye kusimama mbele yangu mimi?


Anapojiinua, mashujaa huogopa; Kwa sababu ya woga wao huvunjwa moyo.


Katika siku hiyo BWANA, kwa upanga wake ulio mkali, ulio mkubwa, ulio na nguvu, atamwadhibu Lewiathani, nyoka yule mwepesi, na Lewiathani, nyoka yule mwenye kuzongazonga; naye atamwua yule joka aliye baharini.


Kwa ajili ya hayo, asema BWANA, Mungu wa majeshi, aliye Bwana; Kutakuwako maombolezo katika njia kuu zote; nao watasema katika njia zote, Ole! Ole! Nao watamwita mkulima aje kuombolea, na hao walio hodari wa kulia waje kuomboleza.


Tuliwapigia filimbi, wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.


Wakafika nyumbani kwa yule mkuu wa sinagogi, akaona ghasia, na watu wakilia, wakifanya maombolezo makuu.