Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 3:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Au, mbona kuzikwa kama mimba iliyoharibika, nisingekuwako; Kama wachanga wasiouona mwanga kabisa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Au, mbona sikuwa kama mimba iliyoharibika, naam, kama mtoto aliyezaliwa mfu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Au, mbona sikuwa kama mimba iliyoharibika, naam, kama mtoto aliyezaliwa mfu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Au, mbona sikuwa kama mimba iliyoharibika, naam, kama mtoto aliyezaliwa mfu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Au kwa nini sikufichwa ardhini kama mtoto aliyezaliwa mfu, kama mtoto mchanga ambaye kamwe hakuuona mwanga?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Au kwa nini sikufichwa ardhini kama mtoto aliyezaliwa mfu, kama mtoto mchanga ambaye kamwe hakuuona mwanga?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Au, mbona kuzikwa kama mimba iliyoharibika, nisingekuwako; Kama wachanga wasiouona mwanga kabisa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 3:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ningalikuwa kama mtu asiyekuwapo; Ningalichukuliwa kaburini kutoka tumboni.


Au pamoja na wakuu wenye dhahabu, Waliozijaza nyumba zao fedha;


Huko waovu huacha kusumbua; Huko nako hao waliochoka wanapumzika.


Kama konokono ayeyukaye na kutoweka, Kama mimba iliyoharibika, isiyoliona jua,


Kabla ya masufuria yenu kupata moto wa miiba, Ataipeperusha kama chamchela, Iliyo mibichi na iliyo moto.


naam, zaidi ya hao wote nikamwita heri yeye asiyekuwako bado, ambaye hakuyaona mabaya yanayotendeka chini ya jua.


Mtu akizaa watoto mia moja, akaishi miaka mingi, hata siku za maisha yake zikiwa nyingi, lakini nafsi yake haikushiba mema; tena ikiwa, zaidi ya hayo, amekosa maziko; mimi nasema, Heri mimba iliyoharibika kuliko huyo;


na mwisho wa watu wote, alinitokea mimi, kama ni mtu aliyezaliwa si kwa wakati wake.