Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 3:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mbona pawe na magoti ya kunipokea? Au hayo maziwa, hata nikanyonya?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa nini mama yangu alinizaa? Kwa nini nikapata kunyonya?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa nini mama yangu alinizaa? Kwa nini nikapata kunyonya?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa nini mama yangu alinizaa? Kwa nini nikapata kunyonya?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa nini pakawa na magoti ya kunipokea na matiti ili nipate kunyonyeshwa?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa nini pakawa na magoti ya kunipokea na matiti ili nipate kunyonyeshwa?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mbona pawe na magoti ya kunipokea? Au hayo maziwa, hata nikanyonya?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 3:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Yuko mjakazi wangu, Bilha, uingie kwake ili kwamba azae kwa niaba yangu, nami nipate uzao kwa yeye.


Yusufu akaona wana wa Efraimu hata kizazi cha tatu; na wana wa Makiri, mwana wa Manase, walizaliwa magotini mwa Yusufu.


Mbona mimi sikufa wakati nikizaliwa? Mbona nisitoe roho hapo nilipotoka tumboni?


Maana hapo ningelala na kutulia; Ningelala usingizi; na kupata kupumzika;


Maana BWANA asema hivi, Tazama, nitamwelekezea amani kama mto, na utukufu wa mataifa kama kijito kifurikacho, nanyi mtapata kunyonya; mtabebwa; na juu ya magoti mtabembelezwa.