Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 3:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa sababu haukuifunga milango ya tumbo la mamangu. Wala kunifichia taabu machoni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana usiku huo haukulifunga tumbo la mama, wala kuficha taabu nisizione.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana usiku huo haukulifunga tumbo la mama, wala kuficha taabu nisizione.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana usiku huo haukulifunga tumbo la mama, wala kuficha taabu nisizione.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa sababu huo usiku haukunifungia mlango wa tumbo la mama yangu, ili kuyaficha macho yangu kutokana na taabu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa sababu huo usiku haukunifungia mlango wa tumbo la mama yangu, ili kuyaficha macho yangu kutokana na taabu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa sababu haukuifunga milango ya tumbo la mamangu. Wala kunifichia taabu machoni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 3:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Maana BWANA alikuwa ameyafunga matumbo ya watu wa nyumbani mwa Abimeleki, wasizae, kwa ajili ya Sara mkewe Abrahamu.


BWANA akaona ya kwamba Lea hakupendwa, naye akafungua tumbo lake; bali Raheli alikuwa hazai.


Nayachukia maisha yangu; Nitayasema malalamiko yangu wazi; Nitanena kwa uchungu wa roho yangu.


Hata leo malalamiko yangu yana uchungu; Pigo langu ni zito zaidi ya kuugua kwangu.


Mbona mimi sikufa wakati nikizaliwa? Mbona nisitoe roho hapo nilipotoka tumboni?


Nyota za mapambazuko yake na ziwe giza; Na utafute mwanga lakini usiupate; Wala usiyaone mapambazuko;


Kwa hiyo ondoa majonzi moyoni mwako, nawe uuondoe ubaya mwilini mwako; kwa maana ujana ni ubatili, na utu uzima pia.


kwa sababu hakuniua nilipotoka tumboni, na hivyo mama yangu angekuwa kaburi langu, na mimba yake sikuzote nzito.


lakini Hana humpa sehemu mara mbili; maana alimpenda Hana, ingawa BWANA alikuwa amemfunga tumbo.