Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 3:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Baada ya hayo Ayubu akafunua kinywa chake, na kuilaani siku yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hatimaye Yobu aliamua kuongea, akailaani siku aliyozaliwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hatimaye Yobu aliamua kuongea, akailaani siku aliyozaliwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hatimaye Yobu aliamua kuongea, akailaani siku aliyozaliwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya jambo hili, Ayubu akafumbua kinywa chake na kuilaani siku ya kuzaliwa kwake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya jambo hili, Ayubu akafumbua kinywa chake na kuilaani siku ya kuzaliwa kwake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Baada ya hayo Ayubu akafunua kinywa chake, na kuilaani siku yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 3:1
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini nyosha mkono wako sasa, uyaguse hayo yote aliyo nayo, naye atakukufuru mbele za uso wako.


Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi, wala hakumwazia Mungu kwa upumbavu.


Kisha wakaketi ardhini pamoja naye muda wa siku saba, mchana na usiku, wala hapana mmoja aliyenena naye neno lolote; kwa maana waliona ya kuwa mashaka yake aliyo nayo ni makuu mno.


Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.


Ayubu akajibu, na kusema;


Na ipotelee mbali ile siku niliyozaliwa mimi, Na ule usiku uliosema, Mtoto wa kiume ametungishwa mimba.


Ndiposa Ayubu hufunua kinywa chake kwa ubatili; Huongeza maneno pasipo maarifa.


Kwa sababu waliiasi roho yake, Akasema yasiyofaa kwa midomo yake.


Ole wangu, mama yangu, kwa kuwa umenizaa mtu wa kuteta, na mtu wa kushindana na dunia yote! Mimi sikukopesha kwa riba, wala watu hawakunikopesha kwa riba; lakini kila mmoja wao hunilaani.