Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 29:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakati nilipotoka kwenda mjini, kupitia langoni, Nilipokitengeza kiti changu katika njia kuu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nilipokutana na wazee langoni mwa mji na kuchukua nafasi yangu mkutanoni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nilipokutana na wazee langoni mwa mji na kuchukua nafasi yangu mkutanoni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nilipokutana na wazee langoni mwa mji na kuchukua nafasi yangu mkutanoni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Wakati nilienda kwenye lango la mji na kuketi katika kiwanja,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Wakati nilipokwenda kwenye lango la mji na kuketi katika kiwanja,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakati nilipotoka kwenda mjini, kupitia langoni, Nilipokitengeneza kiti changu katika njia kuu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 29:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, wale malaika wawili wakaja Sodoma jioni; na Lutu alikuwa amekaa mlangoni pa Sodoma. Lutu akawaona akaondoka akaenda kuwalaki, akainama kifudifudi.


Hamori, na Shekemu mwanawe, wakaja langoni pa mji wao, wakasema na watu wa mji wao, wakinena,


Hao vijana waliniona wakanipisha, Nao wazee wakasimama kwa heshima;


Ikiwa nimewainulia mayatima mkono, Nilipoona msaada wangu langoni;


Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi.


Karibu na malango, mahali pa kuingia mjini, Mahali pa kuyaingilia malango anapiga kelele.


Basi, Ebedmeleki, Mkushi, towashi, aliyekuwa katika nyumba ya mfalme, aliposikia kwamba wamemtia Yeremia shimoni; na wakati huo mfalme alikuwa amekaa katika lango la Benyamini;


Haya ndiyo mtakayoyatenda; kila mtu na aseme ukweli na jirani yake; katika malango yenu toeni hukumu za kweli na ziletazo amani;


Weka waamuzi na maofisa katika malango yako yote akupayo BWANA, Mungu wako, kwa hesabu ya kabila zako; nao wawaamue watu kwa maamuzi ya haki.


ndipo babaye na mamaye na wamkamate, na kumpeleka kwa wazee wa mji wake, katika lango la mahali pake;


Na watu wote waliokuwapo langoni, na wale wazee, wakasema, Naam, sisi ni mashahidi. BWANA na amfanye mwanamke huyu aingiaye nyumbani mwako kuwa kama Raheli na kama Lea, wale wawili walioijenga nyumba ya Israeli. Nawe ufanikiwe katika Efrata, na kuwa mashuhuri katika Bethlehemu.