Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 29:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Shina langu limeenea hata kufika majini, Na umande hukaa usiku kucha katika matawi yangu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi ni kama mti uliotandaza mizizi majini, umande wa usiku huburudisha matawi yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi ni kama mti uliotandaza mizizi majini, umande wa usiku huburudisha matawi yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi ni kama mti uliotandaza mizizi majini, umande wa usiku huburudisha matawi yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mizizi yangu itafika hata kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Shina langu limeenea hata kufika majini, Na umande hukaa usiku kucha katika matawi yangu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 29:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Chini, mizizi yake itakaushwa; Na juu, tawi lake litasinyaa.


Ndipo niliposema, Nitakufa ndani ya kiota changu, Nami nitaziongeza siku zangu kama mchanga;


Mizizi yake huzongazonga chuguu, Huangalia mahali penye mawe.


Naye atakuwa kama mti uliopandwa Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki; Na kila alitendalo litafanikiwa.


Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa joto ujapo, Bali jani lake litakuwa bichi; Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala hautaacha kuzaa matunda.