Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 29:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nami nilizivunja taya za wasio haki, Na kumpokonya mawindo katika meno yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nilizivunja nguvu za watu waovu, nikawafanya wawaachilie mateka wao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nilizivunja nguvu za watu waovu, nikawafanya wawaachilie mateka wao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nilizivunja nguvu za watu waovu, nikawafanya wawaachilie mateka wao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Niliyavunja meno makali ya waovu, na kuwapokonya wahanga kwenye meno yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Niliyavunja meno makali ya waovu, na kuwapokonya wahanga kwenye meno yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nilizivunja taya za wasio haki, Na kumpokonya mawindo katika meno yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 29:17
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo niliposema, Nitakufa ndani ya kiota changu, Nami nitaziongeza siku zangu kama mchanga;


Yeye hutiwa adabu kwa maumivu kitandani mwake, Na kwa mashindano yaendeleayo daima mifupani mwake;


Simba mzee huangamia kwa kukosa mawindo, Nao watoto wa simba jike wametawanyika mbalimbali.


Lakini yeye huokoa na upanga wa kinywa chao, Hata kumwokoa mhitaji na mkono wake aliye hodari.


Papo hapo wangalitumeza hai, Hasira yao ilipowaka juu yetu.


Na ahimidiwe BWANA; Asiyetutoa kuwa mawindo kwa meno yao.


BWANA, uinuke, Mungu wangu, uniokoe, Maana umewapiga taya adui zangu wote; Umewavunja meno wasio haki.


Kama konokono ayeyukaye na kutoweka, Kama mimba iliyoharibika, isiyoliona jua,


Kuna kizazi cha watu ambao meno yao ni panga; Na vigego vyao ni kama visu. Ili kuwala maskini waondolewe katika nchi, Na wahitaji katika wanadamu.


mimi hutoka nikamfuata, nikampiga, nikampokonya kinywani mwake; na akinirukia, humshika ndevu zake, nikampiga, nikamwua.