Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 28:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Njia ile hapana ndege mkali aijuaye, Wala jicho la tai halijaiona;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Njia za kwenda kwenye migodi hiyo hakuna ndege mla nyama azijuaye; na wala jicho la tai halijaiona.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Njia za kwenda kwenye migodi hiyo hakuna ndege mla nyama azijuaye; na wala jicho la tai halijaiona.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Njia za kwenda kwenye migodi hiyo hakuna ndege mla nyama azijuaye; na wala jicho la tai halijaiona.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakuna ndege awindaye aijuaye njia ile iliyofichika, wala hakuna jicho la mwewe lililoiona.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakuna ndege awindaye aijuaye njia ile iliyofichika, wala hakuna jicho la mwewe lililoiona.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Njia ile hapana ndege mkali aijuaye, Wala jicho la tai halijaiona;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 28:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tena akuoneshe hizo siri za hekima, Ya kuwa hufanikiwa katika kuyatimiza makusudi yake! Ujue basi ya kuwa Mungu akuachilia katika uovu wako.


Mawe yake ni mahali zipatikanapo yakuti; Nayo ina mchanga wa dhahabu.


Wanyama wakali wajivunao hawajaikanyaga, Wala simba mkali hajaipita.


Iko wapi njia ya kuyafikia makao ya nuru? Na giza pia, mahali pake ni wapi?


Je! Nuru hutengwa kwa njia gani, Au upepo wa mashariki hutawanywaje juu ya nchi?


Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazieleweki!