Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 28:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Apate kuufanyia upepo uzito wake; Naam, anayapima maji kwa kipimo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alipoupa upepo uzito wake, na kuyapimia maji mipaka yake;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alipoupa upepo uzito wake, na kuyapimia maji mipaka yake;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alipoupa upepo uzito wake, na kuyapimia maji mipaka yake;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipoufanyia upepo nguvu zake na kuyapima maji,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipofanyiza nguvu za upepo na kuyapima maji,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Apate kuufanyia upepo uzito wake; Naam, anayapima maji kwa kipimo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 28:25
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, yuayazuia maji, nayo yakatika; Tena, huyatuma, nayo yaipindua dunia.


Je! Wajua wewe jinsi Mungu anavyoziagiza, Na kuufanya umeme wa wingu lake uangaze?


Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya nchi? Haya! Sema, kama una ufahamu.


Ni nani aliyeamrisha vipimo vyake – hakika unajua! Au ni nani aliyenyosha kamba juu yake?


Au ni nani aliyeifunga bahari kwa milango, Hapo ilipotoka kwa nguvu kama kwamba imetoka tumboni mwa nchi.


Ndiye apandishaye mvuke toka miisho ya nchi; Huifanyia mvua umeme; Hutoa upepo katika ghala zake.


Ni nani aliyeyapima maji kwa konzi ya mkono wake, na kuzikadiria mbingu kwa shubiri, na kuyashika mavumbi ya dunia katika pishi, na kuipima milima kwa uzani, na vilima kama kwa mizani?