Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 28:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa kuwa imefichwa mbali na macho ya wote walio hai, Na kusitirika na ndege wa angani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Imefichika machoni pa viumbe vyote hai, na ndege wa angani hawawezi kuiona.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Imefichika machoni pa viumbe vyote hai, na ndege wa angani hawawezi kuiona.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Imefichika machoni pa viumbe vyote hai, na ndege wa angani hawawezi kuiona.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Imefichika machoni pa kila kitu kilicho hai, imesitiriwa hata kwa ndege wa angani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Imefichika machoni pa kila kitu kilicho hai, imesitiriwa hata kwa ndege wa angani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa imefichwa mbali na macho ya wote walio hai, Na kusitirika na ndege wa angani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 28:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi hekima yatoka wapi? Na mahali pa ufahamu ni wapi?


Uharibifu na Mauti husema, Tumesikia habari zake kwa masikio yetu.


Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.


Kwa maana, amin, nawaambia, Manabii wengi na wenye haki walitamani kuyaona mnayoyaona ninyi, wasiyaone; na kuyasikia mnayoyasikia ninyi, wasiyasikie.


ili litimie neno lililonenwa na nabii, akisema, Nitafumbua kinywa changu kwa mifano, Nitayatamka yaliyositirika tangu kuumbwa kwa ulimwengu.


ambaye ndani yake yeye hazina zote za hekima na maarifa zimesitirika.