Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 28:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Havitatajwa fedhaluka wala bilauri; Naam, kima cha hekima chapita marijani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hekima ina thamani kuliko matumbawe na marijani, thamani yake yashinda thamani ya lulu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hekima ina thamani kuliko matumbawe na marijani, thamani yake yashinda thamani ya lulu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hekima ina thamani kuliko matumbawe na marijani, thamani yake yashinda thamani ya lulu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Marijani na yaspi hazistahili kutajwa; thamani ya hekima ni zaidi ya akiki nyekundu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Marijani na yaspi hazistahili kutajwa; thamani ya hekima ni zaidi ya akiki nyekundu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Havitatajwa fedhaluka wala bilauri; Naam, kima cha hekima chapita marijani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 28:18
13 Marejeleo ya Msalaba  

Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.


Heri mtu yule aonaye hekima, Na mtu yule apataye ufahamu.


Yeye ana thamani kuliko marijani, Wala vyote uvitamanivyo havilingani naye.


Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana thamani yake yapita thamani ya marijani.


Maana hekima ni bora kuliko marijani; Wala vyote vinavyotamanika havilingani nayo.


Wakuu wake walikuwa safi kuliko theluji, Walikuwa weupe kuliko maziwa; Miili yao, walikuwa wekundu kuliko marijani, Na umbo lao kama yakuti samawi.


Shamu alikuwa mfanya biashara kwako, kwa sababu ya wingi wa kazi za mkono wako walifanya biashara kwa zumaridi, urujuani, kazi ya taraza, kitani safi, marijani na akiki, wapate vitu vyako vilivyouzwa.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.


Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;


Na mwanamke yule alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake.


bidhaa ya dhahabu, fedha, vito vyenye thamani, lulu, kitani nzuri, nguo ya rangi ya zambarau, hariri na nguo nyekundu; na kila mti wa uudi, kila chombo cha pembe, kila chombo cha mti wa thamani nyingi, cha shaba, cha chuma na cha marimari;


Na ile milango kumi na miwili ni lulu kumi na mbili; kila mlango ni lulu moja. Na njia ya mji ni dhahabu safi kama kioo kiangavu.