Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 28:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mwanadamu hajui thamani yake, Wala haionekani katika nchi ya walio hai.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hakuna mtu ajuaye thamani ya hekima, wala hekima haipatikani nchini mwa walio hai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hakuna mtu ajuaye thamani ya hekima, wala hekima haipatikani nchini mwa walio hai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hakuna mtu ajuaye thamani ya hekima, wala hekima haipatikani nchini mwa walio hai.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwanadamu hatambui thamani yake; haiwezi kupatikana katika nchi ya walio hai.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwanadamu hatambui thamani yake; haiwezi kupatikana katika nchi ya walio hai.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwanadamu hajui thamani yake, Wala haionekani katika nchi ya walio hai.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 28:13
18 Marejeleo ya Msalaba  

Vilindi vyasema, Haimo ndani yangu; Na bahari yasema, Haiko kwangu.


Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.


Ni za kutamanika kuliko dhahabu, Kuliko wingi wa dhahabu safi. Nazo ni tamu kuliko asali, Kuliko sega la asali.


Naamini ya kuwa nitauona wema wa BWANA Katika nchi ya walio hai.


Lakini Mungu atakuharibu hata milele; Atakuondolea mbali; Atakunyakua hemani mwako; Atakung'oa katika nchi ya walio hai.


Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.


Inunue kweli, wala usiiuze; Naam, hekima, na mafundisho, na ufahamu.


Maana hekima ni bora kuliko marijani; Wala vyote vinavyotamanika havilingani nayo.


Nilisema, Sitamwona BWANA, yeye BWANA, katika nchi ya walio hai; Sitamwona mwanadamu tena pamoja na hao wakaao duniani.


Kwa kuonewa na kuhukumiwa aliondolewa; Na maisha yake ni nani angeyajali? Maana amekatiliwa mbali na nchi ya walio hai; Alipigwa kwa sababu ya makosa ya watu wangu.


Lakini mimi nilikuwa kama mwana-kondoo mpole, achukuliwaye kwenda kuchinjwa; wala sikujua ya kuwa wamefanya mashauri kinyume changu, wakisema, Na tuuharibu mti pamoja na matunda yake, na tumkatilie mbali atoke katika nchi ya walio hai, ili jina lake lisikumbukwe tena.


Elamu yuko huko, na watu wake umati wote, pande zote za kaburi lake; wote pia wameuawa, wameanguka kwa upanga, walioshuka wakiwa hawajatahiriwa hadi pande za chini ya nchi; ambao waliwatia watu hofu katika nchi ya walio hai, nao wamechukua aibu yao, pamoja nao washukao shimoni.