Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 27:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yeye hujenga nyumba yake kama mdudu, Na kama kibanda afanyacho mlinzi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyumba ajengayo mwovu ni kama utando wa buibui, ni kama kibanda cha mlinzi shambani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyumba ajengayo mwovu ni kama utando wa buibui, ni kama kibanda cha mlinzi shambani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyumba ajengayo mwovu ni kama utando wa buibui, ni kama kibanda cha mlinzi shambani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nyumba aijengayo ni kama utando wa buibui, kama kibanda alichotengeneza mlinzi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nyumba aijengayo ni kama utando wa buibui, kama kibanda alichotengeneza mlinzi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yeye hujenga nyumba yake kama mdudu, Na kama kibanda afanyacho mlinzi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 27:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Atang'olewa katika hema yake aliyokuwa akiitumaini; Naye atapelekwa kwake mfalme wa vitisho.


Na binti Sayuni ameachwa kama kibanda katika shamba la mizabibu, kama kipenu katika shamba la matango, kama mji uliohusuriwa.


Makao yangu yameondolewa kabisa, yamechukuliwa kama hema ya mchungaji; Nimekunja maisha yangu kama mfumaji; atanikatilia mbali na kitanda cha mfumi; Tangu mchana hata usiku wanimaliza.


Maana nondo atawala kama vazi, na funza atawala kama sufu; bali haki yangu itakuwa ya milele, na wokovu wangu hata vizazi vyote.


Naye ameondoa maskani yake kwa nguvu, Kana kwamba ni ya bustani tu; Ameziharibu sikukuu zake; BWANA amezisahaulisha katika Sayuni Sikukuu na sabato; Naye amewadharau mfalme na kuhani Katika uchungu wa hasira yake.