Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 27:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hao watakaosalia kwake watakufa kwa maradhi mabaya, Wala wajane wake waliofiwa na waume hawataomboleza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wale watakaopona watakufa kwa maradhi mabaya, na wajane wao hawatawaombolezea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wale watakaopona watakufa kwa maradhi mabaya, na wajane wao hawatawaombolezea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wale watakaopona watakufa kwa maradhi mabaya, na wajane wao hawatawaombolezea.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tauni itawazika wale watakaonusurika miongoni mwao, nao wajane wao hawatawaombolezea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tauni itawazika wale watakaonusurika miongoni mwao, nao wajane wao hawatawaombolezea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hao watakaosalia kwake watakufa kwa maradhi mabaya, Wala wajane wake waliofiwa na waume hawataomboleza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 27:15
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hatakuwa na mwana wala mjukuu kati ya watu wake, Wala hatasalia mtu hapo alipokaa.


Ajapokusanya fedha kama mavumbi, Na kujifanyia mavazi kama udongo kwa wingi;


Makuhani wao walianguka kwa upanga, Wala wajane wao hawakuomboleza.


Basi, BWANA asema hivi, kuhusu habari za Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda; Hawatamwombolezea, wakisema, Aa! Ndugu yangu; au, Aa! Dada yangu; wala hawatamlilia, wakisema, Aa! Bwana wangu; au, Aa! Utukufu wake.


Na vilemba vyenu vitakuwa juu ya vichwa vyenu, na viatu vyenu miguuni mwenu; hamtaomboleza wala kulia; lakini mtafifia katika maovu yenu, na kusikitika kila mtu pamoja na mwenziwe.