Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 27:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Watoto wake wakiongezeka ni kwa upanga; Na wazao wake hawatashiba chakula.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watoto wake hata wawe wengi watauawa kwa upanga; wazawa wake hawatakuwa na chakula cha kutosha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watoto wake hata wawe wengi watauawa kwa upanga; wazawa wake hawatakuwa na chakula cha kutosha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watoto wake hata wawe wengi watauawa kwa upanga; wazawa wake hawatakuwa na chakula cha kutosha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata watoto wake wawe wengi kiasi gani, fungu lao ni kuuawa kwa upanga; wazao wake hawatakuwa kamwe na chakula cha kuwatosha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata kama watoto wake watakuwa wengi kiasi gani, fungu lao ni kuuawa kwa upanga; wazao wake hawatakuwa kamwe na chakula cha kuwatosha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watoto wake wakiongezeka ni kwa upanga; Na wazao wake hawatashiba chakula.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 27:14
16 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Hamani akawasimulia habari za fahari ya mali zake, na wingi wa watoto wake, na pia mambo yote ambayo mfalme amemfanikisha kwayo, na jinsi alivyompandisha cheo juu ya wakuu na watumishi wa mfalme.


Yeye hasadiki kwamba atarudi kutoka gizani, Naye hungojewa na upanga;


Hatakuwa na mwana wala mjukuu kati ya watu wake, Wala hatasalia mtu hapo alipokaa.


Watoto wake watataka fadhili kwa maskini, Na mikono yake itarudisha mali yake.


Simba mzee huangamia kwa kukosa mawindo, Nao watoto wa simba jike wametawanyika mbalimbali.


Kutanga na watange wanawe na kuomba, Watafute chakula mbali na mahame yao.


Wazawa wake waangamizwe, Jina lao likafutwe katika kizazi cha pili.


Kwa maana tazama, siku zitakuja watakaposema, Heri walio tasa, na matumbo yasiyozaa, na maziwa yasiyonyonyesha.


Wanao na binti zako litapewa taifa lingine, na macho yako yataangalia, na kuzimia kwa kuwatamani mchana kutwa; wala hapatakuwa na kitu katika uwezo wa mkono wako.


Utazaa wana na binti, lakini hawatakuwa wako wewe; kwa sababu watakwenda utumwani.


Walioshiba wamejikodisha ili kupata chakula, Lakini waliokuwa na njaa sasa hawana njaa tena. Naam, huyo aliyekuwa tasa amezaa watoto saba, lakini aliye na watoto wengi amehuzunika.