Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 27:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kisha Ayubu akaendelea na hoja yake, na kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yobu akaendelea kutoa hoja yake, akasema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yobu akaendelea kutoa hoja yake, akasema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yobu akaendelea kutoa hoja yake, akasema:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha Ayubu akaendelea na hoja yake, na kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 27:1
8 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno yenu ya hekima ni mithali ya majivu, Ngome zenu ni ngome za udongo.


Kisha Ayubu akaendelea na hoja yake, na kusema,


Nitatega sikio langu nisikie mithali, Na kufumbua fumbo langu kwa kinubi.


Nitafumbua kinywa changu kwa mithali, Niyatamke mafumbo ya kale.


Miguu yake achechemeaye huwa dhaifu; Kadhalika mithali katika kinywa cha mpumbavu.


Akatunga mithali yake, akasema, Balaki amenileta kutoka Aramu, Mfalme wa Moabu kutoka milima ya mashariki, Njoo! Unilaanie Yakobo, Njoo! Unishutumie Israeli.


Akatunga mithali yake akasema, Balaamu mwana wa Beori asema, Yule mtu aliyefumbwa macho asema,


Akatunga mithali yake, akasema, Balaamu mwana wa Beori asema, Yule mtu aliyefumbuliwa macho asema;