Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 26:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Husitiri uso wa kiti chake cha enzi, Na kulitandaza wingu lake juu yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huufunika uso wa mwezi na kutandaza juu yake wingu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huufunika uso wa mwezi na kutandaza juu yake wingu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huufunika uso wa mwezi na kutandaza juu yake wingu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Husitiri uso wa kiti chake cha enzi, Na kulitandaza wingu lake juu yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 26:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Sulemani akanena, BWANA alisema ya kwamba atakaa katika giza nene.


Mawingu mazito ni kifuniko chake, hata asione; Naye yuatembea juu ya kuba ya mbingu.


Alitandaza wingu liwe kifuniko, Na moto ili uwaangazie usiku.


Mawingu na giza vyamzunguka, Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake.


Basi hao watu wakasimama mbali, naye Musa akalikaribia lile giza kuu Mungu alipokuwapo.


Asikwee mtu pamoja nawe, wala asionekane mtu yeyote katika huo mlima; wala kondoo na ng'ombe wasilishwe mbele ya huo mlima.


ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyewahi kumwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina.