Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 26:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Huyafunga maji ndani ya mawingu yake mazito; Na hilo wingu halipasuki chini yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

huyafunga maji mawinguni yawe mazito, nayo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

huyafunga maji mawinguni yawe mazito, nayo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

huyafunga maji mawinguni yawe mazito, nayo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huyafunga maji ndani ya mawingu yake mazito; Na hilo wingu halipasuki chini yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 26:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, mtu aweza kuelewa matandazo ya mawingu, Ngurumo za makao yake?


Ni nani awezaye kuyahesabu mawingu kwa hekima? Au ni nani awezaye kuzimimina chupa za mbinguni?


Nilipolifanya wingu kuwa vazi lake, Na giza zito kuwa nguo ya kuifungia,


Ndiye apandishaye mvuke toka miisho ya nchi; Huifanyia mvua umeme; Hutoa upepo katika ghala zake.


Huzifunika mbingu kwa mawingu, Huitengenezea nchi mvua, Na kuichipusha nyasi milimani.


Ni nani aliyepanda mbinguni na kushuka chini? Ni nani aliyekamata upepo kwa makonzi yake? Ni nani aliyeyafunga maji ndani ya nguo yake? Ni nani aliyefanya imara ncha zote za nchi? Jina lake ni nani? Na ni nani jina la mwanawe, kama wajua?


Alipofanya imara mawingu yaliyo juu; Chemchemi za bahari zilipopata nguvu;


nami nitaliharibu; wala halitapogolewa wala kulimwa, bali litamea mbigili na miiba; nami nitayaamuru mawingu yasinyeshe mvua juu yake.


Atoapo sauti yake, pana mshindo wa maji mbinguni, Naye hupandisha mawingu toka ncha za nchi; Huifanyia mvua umeme, Huutoa upepo katika hazina zake.