Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 26:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yeye hutandaza kaskazi juu ya nafasi isiyo na kitu, Na kuutundika ulimwengu pasipo kitu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu hutandaza kaskazini mahali patupu, na hutundika dunia mahali pasipo na kitu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu hutandaza kaskazini mahali patupu, na hutundika dunia mahali pasipo na kitu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu hutandaza kaskazini mahali patupu, na hutundika dunia mahali pasipo na kitu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huining’iniza dunia mahali pasipo na kitu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huining’iniza dunia mahali pasipo na kitu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yeye hutandaza kaskazi juu ya nafasi isiyo na kitu, Na kuutundika ulimwengu pasipo kitu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 26:7
13 Marejeleo ya Msalaba  

Misingi yake ilikazwa juu ya kitu gani? Au ni nani aliyeliweka jiwe lake la pembeni,


Ambaye peke yake ni mwenye kuzitandika mbingu, Na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.


Maana ameiweka misingi yake juu ya bahari, Na juu ya mito ya maji aliithibitisha.


Kaskazini na kusini ndiwe uliyeziumba, Tabori na Hermoni hulifurahia jina lako.


Mkono wako ni mkono wenye uweza, Mkono wako una nguvu, Mkono wako wa kulia umetukuka.


Je! Hamkujua? Hamkusikia? Hamkuambiwa tokea mwanzo? Hamkufahamu tangu kuwekwa misingi ya dunia?


Yeye ndiye anayeketi juu ya duara ya dunia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama panzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa;


Inueni macho yenu juu, mkaone; ni nani aliyeziumba hizi; aletaye nje jeshi lao kwa hesabu; aziita zote kwa majina; kwa ukuu wa uweza wake, na kwa kuwa yeye ni hodari kwa nguvu zake; hapana moja isiyokuwapo mahali pake.


Mungu BWANA anena, yeye aliyeziumba mbingu, na kuzitanda; yeye aliyeitandaza nchi na mazao yake; yeye awapaye pumzi watu walio juu yake; yeye awapaye roho wao waendao ndani yake.


Ufunuo wa neno la BWANA juu ya Israeli. Haya ndiyo asemayo BWANA, azitandaye mbingu, auwekaye msingi wa dunia, aiumbaye roho ya mwanadamu ndani yake.