Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 26:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kaburi li wazi mbele yake, Uharibifu nao hauna kifuniko.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuzimu kuko wazi kabisa mbele ya Mungu. Abadoni haina kifuniko chochote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuzimu kuko wazi kabisa mbele ya Mungu. Abadoni haina kifuniko chochote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuzimu kuko wazi kabisa mbele ya Mungu. Abadoni haina kifuniko chochote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kaburi li wazi mbele yake, Uharibifu nao hauna kifuniko.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 26:6
17 Marejeleo ya Msalaba  

Ni juu mno kama mbingu; waweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kuliko kuzimuni; waweza kujua nini wewe?


Uharibifu na Mauti husema, Tumesikia habari zake kwa masikio yetu.


Maana hapo ningelala na kutulia; Ningelala usingizi; na kupata kupumzika;


Kwa kuwa ni moto uteketezao hata Uharibifu, Nao ungeyang'oa mavuno yangu yote.


Je! Umefunuliwa malango ya mauti, Au umeyaona malango ya kuzimu?


Ni nani aliyetangulia kunipa hata nimlipe? Kila kilicho chini ya mbingu nzima ni changu.


Aiondoaye milima, nayo haina habari, Akiipindua katika hasira zake.


Kama nikisema, Hakika giza litanifunika, Na nuru inizungukayo ingekuwa usiku;


Kama ningepanda mbinguni, Wewe uko; Ningefanya kuzimu kitanda changu, Wewe uko.


Je! Wafu utawafanyia miujiza? Au waliofariki watasimama na kukuhimidi?


Kuzimu na Uharibifu viko wazi mbele za BWANA; Si zaidi basi, mioyo ya wanadamu?


Kuzimu na Uharibifu havishibi; Wala macho ya wanadamu hayashibi.


Kuzimu chini kumetaharuki kwa ajili yako, Ili kukulaki utakapokuja; Huwaamsha waliokufa kwa ajili yako, Naam, walio wakuu wote wa dunia; Huwainua wafalme wote wa mataifa, Watoke katika viti vyao vya enzi.


yeye hufunua mambo ya fumbo na ya siri; huyajua yaliyo gizani, na nuru hukaa kwake.


Wajapochimba waingie katika kuzimu, mkono wangu utawatoa huko; nao wajapopanda hata mbinguni, nitawateremsha toka huko.


Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi mbele zake, maana vitu vyote ni tupu na kuwekwa wazi machoni pake yeye ambaye tunapaswa kuwajibika kwake.


Na juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wa kuzimu, jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kigiriki analo jina lake Apolioni.