Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.
Yobu 26:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Hao waliokufa watetemesha Chini ya maji na hao wakaamo humo. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema “Mizimu huko chini yatetemeka, maji ya chini na wakazi wake yaogopa. Biblia Habari Njema - BHND “Mizimu huko chini yatetemeka, maji ya chini na wakazi wake yaogopa. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza “Mizimu huko chini yatetemeka, maji ya chini na wakazi wake yaogopa. Neno: Bibilia Takatifu “Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji, na wale wanaoishi ndani yake. Neno: Maandiko Matakatifu “Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake. BIBLIA KISWAHILI Hao waliokufa watetemesha Chini ya maji na hao wakaamo humo. |
Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.